Papa Klementi V
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi V (1264 – 20 Aprili, 1314) alikuwa papa kuanzia 5 Juni, 1305 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bertrand de Goth. Alimfuata Papa Benedikt XI.
[hariri] Viungo vya nje
Kuhusu Papa Klementi V katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
