Papa Klementi V
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi V (1264 – 20 Aprili 1314) alikuwa papa kuanzia 5 Juni 1305 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bertrand de Goth.
Alimfuata Papa Benedikt XI akafuatwa na Papa Yohane XXII.
Viungo vya nje [hariri]
Kuhusu Papa Klementi V katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
