Papa Julius II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Julius II (5 Desemba, 1443 – 21 Februari, 1513) alikuwa papa kuanzia 1 Novemba, 1503 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giuliano della Rovere. Alimfuata Papa Pius III.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Julius II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Julius II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |