Papa Klementi XIV
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi XIV (31 Oktoba, 1705 – 22 Septemba, 1774) alikuwa papa kuanzia 19 Mei 1769 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Vincenzo Antonio Ganganelli. Alimfuata Papa Klementi XIII.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Klemeni XIV katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
En fisk

