Papa Klementi XIV
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Klementi XIV (31 Oktoba, 1705 – 22 Septemba, 1774) alikuwa papa kuanzia 19 Mei 1769 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Vincenzo Antonio Ganganelli. Alimfuata Papa Klementi XIII.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Klementi XIV katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Klementi XIV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
En fisk