Papa Pius IX

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mwenye heri Pius IX.

Papa Pius IX (13 Mei 17927 Februari 1878) alikuwa Papa kuanzia tarehe 16/21 Juni 1846 hadi kifo chake[1]. Alitokea Senigallia, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Maria Mastai-Ferretti.

Alimfuata Papa Gregori XVI akafuatwa na Papa Leo XIII.

Upapa wake ulidumu kuliko ule wa mwingine yeyote ya historia ya Kanisa, ukichukua zaidi ya miaka 31.

Wakati huo aliitisha Mtaguso II wa Vatikano (18691870), uliotangaza dogma ya kwamba Papa ana karama ya kutodanganyika anapofundisha katika nafasi za pekee.

Pamoja na hayo, mtaguso huo ulikatika kutokana na jeshi la Italia kuteka Roma. Hivyo alikuwa wa mwisho kutawala Dola la Papa na wa kwanza kujifungia ndani ya Vatikano ili kupinga uvamizi huo.

Kabla ya hapo, tarehe 8 Desemba 1854 Pius IX alikuwa ametangaza dogma ya Bikira Maria Kukingiwa Dhambi ya Asili. Pia aliandika nyaraka 38 kuhusu masuala mbalimbali.

Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 3 Septemba 2000.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • About, Edmund (1859). The Roman Question. New York: D. Appleton and Company. 
  • Acta et decreta Pii IX, Pontificis Maximi, VolI-VII, Romae 1854 ff
  • Acta et decreta Leonis XIII, P.M. Vol I-XXII, Romae, 1881, ff
  • Actae Sanctae Sedis, (ASS), Romae, Vaticano 1865
  • Barwig, Regis N. (1978). More Than a Prophet: Day By Day With Pius IX. Altadena: Benziger Sisters. 
  • L. Boudou, Le S. Siege et la Russie, Paris, 1890
  • Burkle-Young, Francis A. (2000), Papal Elections in the Age of Transition, 1878–1922, Lexington Books, retrieved 2012-07-15 .
  • Capitelli, Giovanna, Mecenatismo pontificio e borbonico alla vigilia dell'unità, Viviani Editore, Rome, 2011 ISBN 8879931482
  • Chiron, Yves, Pope Pius IX: The Man and The Myth, Angelus Press, Kansas City-MI, 2005 ISBN 1-892331-31-4
  • Corcoran, James A. "Pius IX and His Pontificate," The American Catholic Quarterly Review, Vol. III, 1878.
  • De Cesare, Raffaele (1909). The Last Days of Papal Rome. London: Archibald Constable & Co. 
  • Duffy, Eamon, Saints and Sinners, a History of the Popes Yale University Press, 1997
  • Franzen, August, Papstgeschichte, Herder, Freiburg, 1988 (cit.Franzen)
  • Franzen, August, Kleine Kirchengeschichte Herder, Freiburg, 1991 (cit.Franzen, Kirchengeschichte)
  • Hasler, August Bernhard (1981). How the Pope Became Infallible: Pius IX and the Politics of Persuasion. Doubleday. 
  • Hasler, August Bernhard (1979). Wie der Papst unfelhlbar wurde: Macht und Ohnmacht eines Dogmas. R. Piper & Co. Verlag. 
  • Kertzer, David I. (2004). Prisoner of the Vatican: The Popes' Secret Plot to Capture Rome from the New Italian State. Houghton Mifflin. ISBN 0-618-22442-4. 
  • Martina, S.J. Pio IX (1846–1850). Roma: Editrice Pontificia Universita Gregoriana. Vol I-III, 1974–1991.
  • Mooney, John A. "Pius IX and the Revolution, 1846–1848". The American Catholic Quarterly Review. Vol. XVII, 1892.
  • Pougeois, Histoire de Pie IX, son pontificat et son siecle, Vol I-VI, Paris, 1877
  • Schmidlin, Josef, Papstgeschichte, Vol I-IV, Köstel-Pusztet München, 1922–1939
  • John Gilmary Shea. The Life of Pope Pius IX. New York, 1877.
  • Sylvain. Histoire de Pie IX le Grand et de son pontificat. Vol I, II. Paris, 1878
  • Franz Spirago, Példatár (Examples from life; from 6. German edition translated Bezerédj László), Szent István-Társulat Budapest, 1927
  • Woodward, Kenneth L. (1996). "Pius IX and the Posthumous Politics of Canonization". Making saints: how the Catholic Church determines who becomes a saint, who doesn't, and why. Simon and Schuster. pp. 309–35. ISBN 978-0-684-81530-5. Retrieved 16 July 2010. 
  • August Bernhard Hasler: Wie der Papst unfehlbar wurde. Macht und Ohnmacht eines Dogmas [How the Pope Became Infallible]. with an introduction by Hans Küng. Piper, Munich, 1979, ISBN 3-492-02450-5.
  • August Bernhard Hasler: Pius IX. (1846–1878) päpstliche Unfehlbarkeit und 1. Vatikanisches Konzil. (= Päpste und Papsttum Bd. 12). 2 volumes, 1st ed. Hiersemann, Stuttgart, 1977, ISBN 3-7772-7711-8.
  • Veronika Maria Seifert: Pius IX. – der Immaculata-Papst. Von der Marienverehrung Giovanni Maria Mastai Ferretis zur Definierung des Immaculata-Dogmas. V&R unipress. Göttingen, 2013. ISBN 978-3-8471-0185-7.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius IX kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.