Papa Pius IX
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius IX (13 Mei, 1792 – 7 Februari, 1878) alikuwa papa kuanzia 16 Juni, 1846 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Maria Mastai-Ferretti. Alimfuata Papa Gregori XVI (-).
[hariri] Viungo vya nje
Papa Pius IX katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

