Papa Pius II
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Pius II (18 Oktoba 1405 – 14 Agosti 1464) alikuwa papa kuanzia 19 Agosti 1458 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Enea Silvio Piccolomini. Alimfuata Papa Callixtus III akafuatwa na Papa Paulo II.
Viungo vya nje [hariri]
Papa Pius II katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Pius II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |