Papa Gregori XVI
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori XVI (18 Septemba, 1765 – 1 Juni, 1846) alikuwa papa kuanzia 2 Februari, 1831 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bartolomeo Alberto Cappellari. Alimfuata Papa Pius VIII.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Gregori XVI katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki


