Papa Gregori XVI
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Gregori XVI (18 Septemba 1765 – 1 Juni 1846) alikuwa papa kuanzia 2 Februari 1831 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Bartolomeo Alberto Cappellari. Alimfuata Papa Pius VIII akafuatwa na Papa Pius IX.
Viungo vya nje[hariri]
Papa Gregori XVI katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Gregori XVI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
