Papa Yohane XIX

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane XIX.

Papa Yohane XIX alikuwa Papa kuanzia tarehe 19 Aprili 1024 hadi kifo chake mnamo 1032[1].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Romanus wa ukoo wa watawala wa Tusculum, Roma, Italia[2].

Alimfuata Papa Benedikto VIII akafuatwa na Papa Benedikto IX.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane XIX kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.