Papa Paulo IV
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Paulo IV (28 Juni, 1476 – 18 Agosti, 1559) alikuwa papa kuanzia 23 Mei, 1555 hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Pietro Carafa. Alimfuata Papa Marcello II.
[hariri] Viungo vya nje
Papa Paulo IV katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki
| Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Paulo IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
