Papa Yohane XVII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Yohane XVII alikuwa papa kuanzia 13 Juni, 1003 hadi kifo chake tarehe 6 Novemba, 1003. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Sicco. Alimfuata Papa Silvester II.

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane XVII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.