Papa Yohane XI

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane XI.

Papa Yohane XI alikuwa Papa kuanzia Machi 931 hadi kifo chake mwezi wa Januari 936[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Yohane (labda alizaliwa mwaka 910).

Alimfuata Papa Stefano VII akafuatwa na Papa Leo VII.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane XI kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.