Papa Yohane XIII

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Papa Yohane XIII.

Papa Yohane XIII alikuwa Papa kuanzia tarehe 1 Oktoba 965 hadi kifo chake tarehe 6 Septemba 972[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Yohane Crescenzi.

Alimfuata Papa Leo VIII akafuatwa na Papa Benedikto VI.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane XIII kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.