Papa Sixtus I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Papa Sisto I)
Papa Sixtus I.

Papa Sixtus I (au Xystus) alikuwa Papa kuanzia takriban 117/119 hadi kifo chake takriban 126/128[1][2]. Alitokea Roma, Italia na jina la baba yake lilikuwa Pastor[3].

Alimfuata Papa Alexander I akafuatwa na Papa Telesphorus[4].

Alishughulikia liturujia ya Kanisa la Roma [5] bila kulazimisha majimbo mengine hata kuhusu suala la adhimisho la Pasaka ya Kikristo lililoanza kujitokeza.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini na kutajwa katika Kanuni ya Kirumi.

Sikukuu yake ni tarehe 3 Aprili[6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. According to the Liberian Catalogue of popes, he served the Church during the reign of Hadrian "from the consulate of Niger and Apronianus until that of Verus III and Ambibulus", that is, from 117 to 126. Eusebius states in his Chronicon that Sixtus I was pope from 114 to 124, while his Historia Ecclesiastica, using a different catalogue of popes, claims his rule from 114 to 128. All authorities agree that he reigned about ten years.
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/48250
  4. "Pope St. Sixtus I". The Catholic Encyclopedia. 14. New York: Robert Appleton Company. 1912. https://www.newadvent.org/cathen/14031b.htm.
  5. According to the Liber Pontificalis (ed. Duchesne, I.128), he passed the following three ordinances:
    • that none but sacred ministers are allowed to touch the sacred vessels;
    • that bishops who have been summoned to the Holy See shall, upon their return, not be received by their diocese except on presenting Apostolic letters;
    • that after the Preface in the Mass the priest shall recite the Sanctus with the people.
  6. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Benedict XVI. The Roman Martyrology. Gardners Books, 2007. ISBN 978-0-548-13374-3.
  • Chapman, John. Studies on the Early Papacy. Port Washington, NY: Kennikat Press, 1971. ISBN 978-0-8046-1139-8.
  • Fortescue, Adrian, and Scott M. P. Reid. The Early Papacy: To the Synod of Chalcedon in 451. Southampton: Saint Austin Press, 1997. ISBN 978-1-901157-60-4.
  • Jowett, George F. The Drama of the Lost Disciples. London: Covenant Pub. Co, 1968. OCLC 7181392
  • Loomis, Louise Ropes. The Book of Popes (Liber Pontificalis). Merchantville, NJ: Evolution Publishing. ISBN 1-889758-86-8.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: