Papa Agatho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Papa Agatho

Papa Agatho alikuwa papa kuanzia 27 Juni, 678 hadi kifo chake tarehe 10 Januari, 681. Alimfuata Papa Donus. Inasemekana kwamba alikuwa na umri wa zaidi ya miaka mia moja alipochaguliwa kuwa papa.

[hariri] Viungo vya nje

Kuhusu Papa Agatho katika Kamusi Elezo ya Kikatoliki

Pope.svg Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Agatho kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.