10 Januari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Des - Januari - Feb | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | 31 | ||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
- 1920 - Shirikisho la Mataifa linaanza kazi yake.
Waliozaliwa [hariri]
- 1916 - Sune Bergström, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1982
- 1936 - Robert Wilson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1978)
- 1966 - Hawa Ghasia, mwanasiasa wa Tanzania na Waziri wa Huduma za Umma (2005-2010)
- 1971 - Theuns Jordaan, mwanamuziki kutoka Afrika Kusini
Waliofariki [hariri]
- 681 - Papa Agatho
- 1276 - Papa Gregori X
- 1951 - Sinclair Lewis (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1930)
- 1957 - Gabriela Mistral (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1945)
- 1986 - Jaroslav Seifert (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1984)
- 1997 - Alexander Todd (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1957)