1950
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1947 1948 1949 - 1950 - 1951 1952 1953 |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
- 15 Januari - Anna Valerian Komu, mwanasiasa wa Tanzania
- 7 Oktoba - Jakaya Kikwete (Rais wa awamo ya nne wa Tanzania)
bila tarehe
- Frederick Sumaye, Waziri Mkuu wa 9 wa Tanzania
- Christopher Mtikila, mwanasiasa kutoka Tanzania
[hariri] Waliofariki
- 21 Januari - George Orwell
- 25 Februari - George Minot (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1934)
- 19 Machi - Norman Haworth (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1937)
- 19 Machi - Edgar Rice Burroughs
- 14 Aprili - Frances Ford Seymour, mke wa pili wa Henry Fonda, alijiua
- 8 Julai - Siti Binti Saad (mwanamuziki Mtanzania)
- 17 Julai - Evangeline Booth
- 18 Julai – Carl Van Doren (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1939)
- 23 Agosti - Frank Phillips
- 11 Septemba - Jan Christian Smuts
- 29 Oktoba - Mfalme Gustaf V wa Sweden
- 2 Novemba - George Bernard Shaw (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1925)
- 25 Novemba - Johannes Vilhelm Jensen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1944)
- 12 Desemba - Peter Fraser

