1955
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | ►
◄◄ | ◄ | 1951 | 1952 | 1953 | 1954 | 1955 | 1956 | 1957 | 1958 | 1959 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1955 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1955 MCMLV |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5715 – 5716 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1947 – 1948 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1404 ԹՎ ՌՆԴ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1375 – 1376 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1333 – 1334 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2010 – 2011 |
| - Shaka Samvat | 1877 – 1878 |
| - Kali Yuga | 5056 – 5057 |
| Kalenda ya Kichina | 4651 – 4652 甲午 – 乙未 |
- 13 Februari - Castor Paul Msemwa, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 19 Machi - Bruce Willis, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 13 Aprili - Ronald Muwenda Mutebi II, mfalme wa Buganda
- 26 Aprili - Damian Dalu, askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, Tanzania
- 9 Mei - Meles Zenawi, Waziri Mkuu wa Ethiopia
- 18 Mei - Chow Yun Fat, mwigizaji filamu kutoka Uchina
- 1 Juni - Chiyonofuji Mitsugu, mwanamwereka wa Japani
- 17 Julai - Aggrey Deaisile Joshua Mwanri, mwanasiasa wa Tanzania
- 12 Desemba - Alfred Leonhard Maluma, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
bila tarehe
- Mzee Small, mwigizaji kutoka Tanzania
Waliofariki [hariri]
- 31 Januari - John Mott (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1946)
- 3 Machi - Katharine Drexel, mtawa wa kike kutoka Marekani
- 11 Machi - Alexander Fleming (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1945)
- 18 Aprili - Albert Einstein (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1921)
- 23 Julai - Cordell Hull (mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1945)
- 12 Agosti - Thomas Mann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1929)
- 12 Agosti - James Sumner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1946)
- 13 Novemba – Bernard DeVoto, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1948
- 14 Novemba - Robert Sherwood (mwandishi Mmarekani)
- 13 Desemba - Antonio Egas Moniz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1949
Wikimedia Commons ina media kuhusu: