Aggrey Deaisile Joshua Mwanri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Aggrey Deaisile Joshua Mwanri, (alizaliwa 17 Julai 1955) aliwahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora, na aliwahi kuwa mbunge wa jimbo la Siha katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.[1] Anatokea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Aggrey Deaisile Joshua Mwanri". 17 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.