Mkoa wa Tabora
| Mkoa wa Tabora |
|
| Nembo ya Tanzania | |
| Mahali pa Mkoa wa Tabora katika Tanzania | |
| Anwani ya kijiografia: 5°30′S 32°50′E / 5.5°S 32.833°E | |
| Nchi | Tanzania |
|---|---|
| Wilaya | 7 |
| Mji mkuu | Tabora |
| Serikali | |
| - Mkuu wa Mkoa | Abeid Mwinyimsa |
| Eneo | |
| - Mkoa | 75,264 km² |
| Idadi ya wakazi (2002) | |
| - Mji | 1,717,908 |
| Tovuti: http://www.tabora.go.tz/ | |
Tabora ni jina la mji, wilaya na mkoa wa Tanzania ya kati.
Mkoa wa Tabora iko kati ya mikoa 30 ya Tanzania. Makao makuu yako Tabora Mjini.
Eneo la mkoa ni 76,151 km² mnamo 34,698 km² (46%) ni hifadhi ya misitu, 17,122 km² (22%) ni hifadhi ya wanyama. Wakazi walio wengi ni wakulima na wafugaji. Jumla ya wakazi ilikuwa watu 1,717,908 (mw. 2002).
Kulikuwa na wilaya 6 (idadi ya wakazi kwa mabano): Tabora Mjini (188,808), Nzega (417,097), Igunga (325,547), Uyui (282,272), Urambo (370,796), Sikonge (133,388).
Mnamo Machi 2012 ilianzishwa pia wilaya ya Kaliua.
Tabora haina barabara za lami. Kuna njia ya reli ya kati kutoka Daressalaam kwenda Kigoma kwa upande moja na kwenda Mwanza kwa upande mwingine.
Jina la Urambo humkumbuka Mtemi Mirambo aliyekuwa mtwala muhimu wa Wanyamwezi kabla ya kuingia kwa ukoloni.
Wenyeji wa Tabora ni hasa Wanyamwezi.
|
|
|
|---|---|
| Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi | |