Albert Einstein

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Albert Einstein alivyopigiwa picha na Oren Turner, 1947
Albert Einstein alivyopigiwa picha na Oren Turner, 1947

Albert Einstein (14 Machi, 187918 Aprili, 1955) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Baadaye alihamia Marekani. Hasa anajulikana kwa nadharia yake inayolingana nishati na tungamo katika fomyula E = mc2. Mwaka wa 1921 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Albert Einstein" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Albert Einstein kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi