Albert Einstein
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Albert Einstein (14 Machi, 1879 – 18 Aprili, 1955) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Ujerumani. Baadaye alihamia Marekani. Hasa anajulikana kwa nadharia ya uhusianifu. Mwaka wa 1921 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
| Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Albert Einstein kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |