Marekani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

United States of America
Muungano wa Madola ya Amerika
Flag of Marekani Nembo ya Marekani
Bendera Nembo
Wito la taifa: E Pluribus Unum
(kiasili "Moja kutoka wengi")
In God We Trust
(rasmi tangu 1956 "Twamtegemea Mungu")
Wimbo wa taifa: "The Star-Spangled Banner"
("Bendera ya nyota")
Lokeshen ya Marekani
Mji mkuu Washington DC
38°53′ N 77°02′ W
Mji mkubwa nchini New York
Lugha rasmi Kiingereza
hali halisi, si kisheria
Serikali Shirikisho la Jamhuri
Barack Obama
Uhuru
- Matangazo ya uhuru
- Mkataba wa Paris (1783)
Kutoka Uingereza
4 Julai 1776
3 Septemba 1783
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
9,631,420 km² (ya 31)
4.87
Idadi ya watu
 - [[]] kadirio
 - 2000 sensa
 - Msongamano wa watu
 
(ya 3)
281,421,906
31/km² (ya 172)
Fedha United States dollar ($) (USD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-5 to -10)
(UTC-4 to -10)
Intaneti TLD .us .gov .edu .mil .um
Kodi ya simu +1
Alama ya kimataifa ya magari +USA

Marekani (inajulikana pia kama "Muungano wa Madola ya Amerika" au kwa kifupi chake cha Kiingereza kama "USA" au "US") ni nchi ya Amerika ya Kaskazini inayopakana na Kanada na Meksiko.

Mji mkuu wa Marekani ni Washington DC.

Yaliyomo

[hariri] Eneo

[hariri] Marekani bara

Eneo la Marekani ni hasa bara la Amerika Kaskazini kati ya Kanada upande wa laskazini na Meksiko upande wa kusini. Marekani imeunganisha upana wote wa bara kutoka Bahari ya Atlantiki na Pasifiki. Marekani bara imegawanywa kwa majimbo 48 yanayojitawala.

Eneo lake lagawiwa katikati na mto mkubwa Mississippi unaoanza mpakani wa Kanada na kuishia katika Ghuba ya Meksiko

[hariri] Alaska

Jimbo la Alaska liko pia kwenye bara la Amerika Kaskazini upande wa kaskazini kutoka Kanada kuelekea Urusi.

[hariri] Hawaii

Funguvisiwa ya Hawaii ni jimbo la visiwani katika bahari ya Pasifiki.

[hariri] Visiwa vya ng'ambo vya Marekani

Maeneo ya ng'ambo ya Marekani ni visiwa kadhaa ambavyo ni maeneo ya Kimarekani ingawa si sehemu ya jimbo lolote. Zamani yalikuwa kama makoloni hata kama Marekani ilidai kutokuwa na koloni. Siku hizi maeneo haya yamepata viwango mbalimbali vya kujitawala. Kwa kawaida maeneo haya huchagua pia wawakilishi kwa ajili ya bunge la Marekani lakini wawakilishi wale si wabunge wa kawaida, wakiwa na haki ya kusema na kushauri tu bila haki ya kupiga kura.

Visiwa muhimu kati ya hivi ni kama vifuatavyo:

[hariri] Waja

[hariri] Tazama pia

Flag USA template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Marekani kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Majimbo na maeneo ya Marekani
Majimbo ya Marekani
AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming
Mkoa wa Mji Mkuu
Mkoa wa Columbia (Washington D.C.)
Visiwa vya ng'ambo
Katika Pasifiki: Samoa ya MarekaniVisiwa vya Mariana ya KaskaziniGuamKatika Karibi: Puerto RicoVisiwa vya Virgin vya MarekaniVisiwa vidogo sana vya Pasifiki:Kisiwa cha HowlandKisiwa cha JarvisAtolli ya JohnstonKingman ReefAtolli ya MidwayKisiwa cha BakerAtolli ya PalmyraKisiwa cha WakeKisiwa kidogo cha Karibi: Kisiwa cha Navassa

Lugha nyingine