Wisconsin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Jimbo la Wisconsin








Wisconsin

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Madison
Eneo
 - Jumla 169,639 km²
 - Kavu 140,663 km² 
 - Maji 28,976 km² 
Tovuti:  http://www.wisconsin.gov/

Wisconsin ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Madison na mji mukubwa ni Milwaukee. Jimbo lina wakazi wapatao 5,627,967 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 169,790. Mipaka asilia ni Ziwa Michigan upande wa mashariki na Ziwa Superior upande wa kazkazini. Imepakana na Michigan, Illinois, Iowa na Minnesota.

Miji[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wisconsin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.