Oregon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Bendera ya Oregon
Mahali pa Oregon katika Marekani

Oregon ni jimbo la Marekani upande wa magharibi-kazkazini ya nchi. Iko kwenye pwani la Pasifiki.

Mji mkuu ni Salem na Portland ni mji mkubwa.

Impekana na Washington, Idaho, Nevada na California.

Jimbo lina wakazi wapatao 3,790,060 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 255,026.

Mlima Hood ni mlima mkubwa katika Oregon.

Miji muhimu baada ya Portland ni Eugene, Astoria, Medford na Bend.


Map of Oregon NA.png


[hariri] Viungo vya Nje

Commonwealth of Oregon Official Website

Flag USA template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Oregon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Majimbo na maeneo ya Marekani
Majimbo ya Marekani
AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming
Mkoa wa Mji Mkuu
Mkoa wa Columbia (Washington D.C.)
Visiwa vya ng'ambo
Katika Pasifiki: Samoa ya MarekaniVisiwa vya Mariana ya KaskaziniGuamKatika Karibi: Puerto RicoVisiwa vya Virgin vya MarekaniVisiwa vidogo sana vya Pasifiki:Kisiwa cha HowlandKisiwa cha JarvisAtolli ya JohnstonKingman ReefAtolli ya MidwayKisiwa cha BakerAtolli ya PalmyraKisiwa cha WakeKisiwa kidogo cha Karibi: Kisiwa cha Navassa