Kentucky

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Jimbo la Kentucky








Kentucky

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Frankfort
Eneo
 - Jumla 104,659 km²
 - Kavu 102,896 km² 
 - Maji 1,763 km² 
Tovuti:  http://www.kentucky.gov/

Kentucky ni jimbo (commonwealth) la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Frankfort.

Miji muhimu baada ya Frankfort ni Louisville, Lexington, Paducah, Pikeville na Ashland.

Kiingereza ni lugha rasmi.

Imepakana na Illinois, Indiana, Ohio, West Virginia (Virginia Magharibi), North Carolina (Carolina Kaskazini), Tennessee na Missouri.

Jimbo lina wakazi wapatao 4,269,245 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 104,659.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Commonwealth of Kentucky Official Website

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kentucky kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.