Frankfort, Kentucky

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya mkoa wa Frankfort, Kentucky


Frankfort
Frankfort is located in Marekani
Frankfort
Frankfort

Mahali pa mji wa Frankfort katika Marekani

Majiranukta: 38°11′50″N 84°51′47″W / 38.19722°N 84.86306°W / 38.19722; -84.86306
Nchi Marekani
Jimbo Kentucky
Wilaya Franklin
Idadi ya wakazi (2000)
 - Wakazi kwa ujumla 27,741
Tovuti:  www.CityofFrankfortKY.com

Frankfort ni jina la mji mkuu wa jimbo la Kentucky nchini Marekani. Umepata kuwa mji mkuu tangu mnamo tar. 8 Desemba 1792. Mji huu upo nga'mbo ya Mto Kentucky. Hii ndiyo sababu iliyopelekea mji huu kuitwa jina hili, kwa sababu ardhi yake ilikuwa ikimilikiwa na mwanzilishi Stephen Frank. Awali uliitwa "Frank's Ford", lakini baada ya muda mchache jina likabadilishwa na kuwa Frankfort. Takriban watu 27,741 wanaishi mjini hapa. Na huu ni mji mkuu wa tano kwa udogo katika orodha ya miji mikuu ya majimbo ya Marekani.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]



Miji mikuu ya majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Frankfort, Kentucky kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.