Frankfort, Kentucky
| Frankfort | |
| Ikulu ya Kentucky | |
| Mahali pa mji wa Frankfort katika Marekani | |
| Anwani ya kijiografia: 38°11′50″N 84°51′47″W / 38.19722°N 84.86306°W | |
| Nchi | Marekani |
|---|---|
| Jimbo | Kentucky |
| Wilaya | Franklin |
| Idadi ya wakazi (2000) | |
| - Mji | 27,741 |
| Tovuti: www.CityofFrankfortKY.com | |
Frankfort ni jina la mji mkuu wa jimbo la Kentucky nchini Marekani. Umepata kuwa mji mkuu tangu mnamo tar. 8 Desemba, 1792. Mji huu upo nga'mbo ya Mto Kentucky. Hii ndiyo sababu iliyopelekea mji huu kuitwa jina hili, kwa sababu ardhi yake ilikuwa ikimilikiwa na mwanzilishi Stephen Frank. Awali uliitwa "Frank's Ford", lakini baada ya muda mchache jina likabadilishwa na kuwa Frankfort. Takriban watu 27,741 wanaishi mjini hapa. Na huu ni mji mkuu wa tano kwa udogo katika orodha ya miji mikuu ya majimbo ya Marekani.
[hariri] Viungo vya Nje
- (Kiingereza) City of Frankfort Website
| Miji mikuu ya majimbo ya Marekani |
|---|
|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Frankfort, Kentucky kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |