Columbus, Ohio
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jiji la Columbus | |
| Mahali pa mji wa Columbus katika Marekani | |
| Coordinates: 39°59′23″N 82°59′29″W / Expression error: Unexpected < operator Expression error: Unexpected < operator | |
| Nchi | Marekani |
|---|---|
| Jimbo | Ohio |
| Kitongoji | Delaware Fairfield Franklin |
| Idadi ya wakazi | |
| - Mji | 747,755 |
| Website: www.columbus.gov | |
Columbus ndiyo mji mkuu katika jimbo la Ohio. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 1.8 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 275 kutoka juu ya usawa wa bahari.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Columbus, Ohio kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
| Miji mikuu ya majimbo ya Marekani |
|---|
|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |