Dover, Delaware

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya mkoa wa Dover, Delaware


Dover
Dover is located in Marekani
Dover
Dover

Mahali pa mji wa Dover katika Marekani

Majiranukta: 39°09′43″N 75°31′36″W / 39.16194°N 75.52667°W / 39.16194; -75.52667
Nchi Marekani
Jimbo Delaware
Wilaya Kent
Tovuti:  www.cityofdover.com

Dover ni mji mkuu na wa pili kwa ukubwa katika jimbo la Delaware nchini Marekani.[1] Mji upo katika eneo la Mto wa Mt. Jones katika pwani tupu ya Mto Delaware. Mji ulipewa jina na William Penn kwa ajili ya Dover huko Kent, Uingereza. Na kwa mwaka wa 2007, mji ulikadiriwa kuwa na wakazi wapatao 35,811.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Annual Estimates of the Population for All Incorporated Places in Delaware (CSV). 2005 Population Estimates. U.S. Census Bureau, Population Division (21 Juni 2006). Iliwekwa mnamo 21 Novemba 2006.
  2. Population Estimates for All Places: 2000 to 2006

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:



Miji mikuu ya majimbo ya Marekani

AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming

Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Dover, Delaware kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.