Uingereza

Kutoka Wikipedia

Uingereza ni neno linaloweza kutaja maana mbalimbali:


Tanbihi:

  • Redio Tanzania imependekeza neno moja la "Uingereza“ kwa ajili ya maana yote tatu
  • TUKI imependekeza maneno mawili ya Uingereza (kwa nchi pia kwa ajili ya Ufalme wa Maungano) na Briteni (kwa ajili ya kisiwa); lakini "Briteni“ ina matatizo kwa maandishi ya kihistoria na kijiografia kwa sababu inafanana mno na jina la "Brittany“ au "Bretagne“ amabyo ni mkoa wa Ufaransa.
  • Makala hii inajaribu kutumia neno la "Britania“ na kusubiri michango ya wanawikipedia.
Ukarasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja.

Chagua maana uliyoikusudi.

Maelezo katika ukarasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukarasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.

Vifaa binafsi