Waswahili
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Waswahili ni kabila la kutoka pwani ya Bahari Hindi ya nchikama vile Tanzania na Kenya.
Pia ni kawaida kuwaita wasemaji wa Kiswahili Waswahili hata kama ni wenyeji wa makabila mengine.
"Mswahili" ni pia namna ya kumtaja mtu mjanja kwa lugha ya mzaha.