Ubelgiji
|
|||||
| Wito la taifa: Kifaransa: L'union fait la force ; Kiholanzi: Eendracht maakt macht ; Kijerumani: Einigkeit macht stark. (Kiswahili: "Umoja ni nguvu") |
|||||
| Wimbo wa taifa: La Brabançonne (Wimbo la Brabant) | |||||
![]() |
|||||
| Mji mkuu | Brussels |
||||
| Mji mkubwa nchini | Brussels | ||||
| Lugha rasmi | Kiholanzi, Kifaransa, Kijerumani | ||||
| Serikali | Ufalme wa kikatiba Albert II Elio Di Rupo |
||||
| Uhuru Mapinduzi ya Ubelgiji |
1830 | ||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
30,528 km² (ya 140) 6.2 |
||||
| Idadi ya watu - 2008 kadirio - 2001 sensa - Msongamano wa watu |
10,666,866 (ya 76) 10,296,350 349/km² (ya 29) |
||||
| Fedha | Euro (EUR) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
CET (UTC+1) CEST (UTC+2) |
||||
| Intaneti TLD | .be | ||||
| Kodi ya simu | +32
- |
||||
Ubelgiji (België kwa Kiholanzi, Belgique kwa Kifaransa na Belgien kwa Kijerumani) ni nchi ya Ulaya ya Magharibi. Imepakana na Ufaransa, Uholanzi, Ujerumani na Luxemburg. Ina pwani na Bahari ya Kaskazini. Mji mkuu ni Brussels.
Yaliyomo |
Historia [hariri]
Jiografia [hariri]
Majimbo [hariri]
Ubelgiji ina majimbo matatu:
- Flandria katika kaskazini penye Waflandria wanaotumia lugha ya Kiholanzi,
- Wallonia katika kusini penye Wawallonia wanaotumia Kifaransa na
- jimbo la mji mkuu wa Brussels penye lugha zote.
Katika Wallonia kuna pia wilaya ambakao wakazi wanatumia hasa lugha ya Kijerumani ambacho ni lugha ya tatu ya kitaifa.
Tazama pia [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ubelgiji kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
|
||||||||||||||
