Georgia (nchi)
|
|||||
| Wito la taifa: ძალა ერთობაშია(Kigeorgia) "Nguvu ni Umoja" |
|||||
| Wimbo wa taifa: Tavisupleba ("Uhuru") | |||||
![]() |
|||||
| Mji mkuu | Tbilisi |
||||
| Mji mkubwa nchini | Tbilisi | ||||
| Lugha rasmi | Kigeorgia (pia Kiabkhazi katika Abkhazia) | ||||
| Serikali | Jamhuri Mikheil Saakashvili Nikoloz Gilauri |
||||
| Chanzo cha Taifa Kuanzishwa kwa Kolkhis na Iberia ya Kaukazi kama falme za kwanza katika Georgia Ufalme wa Georgia uliounganishwa Jamhuri ya kwanza ya Georgia Uhuru kutoka Umoja wa Kisovyeti Ilitangazwa Ilitambuliwa Ilikamilishwa |
mnamo2000 BC 1008 26 Mei 1918 9 Aprili 1991 6 Septemba 1991 25 Desemba 1991 |
||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
69,700 km² (ya 121) |
||||
| Idadi ya watu - 2005 kadirio - Msongamano wa watu |
4,661,473[1] (ya 1171) 64/km² (129) |
||||
| Fedha | Lari (ლ) (GEL) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
MSK (UTC+3) MSD (UTC+4) |
||||
| Intaneti TLD | .ge | ||||
| Kodi ya simu | +995
- |
||||
| 1 Population figure excludes Abkhazia and South Ossetia. | |||||
Georgia (Kigeorgia: საქართველო "Sakartvelo") ni nchi ya Kaukazi kati ya Ulaya na Asia kwenye mwambao wa Bahari Nyeusi. Imepakana na Urusi, Uturuki, Armenia na Azerbaijan. Georgia ilikuwa sehemu ya Umoja wa Kisovyeti lakini imekuwa nchi huru ya kujitegemea tangu 1991. Mji mkuu ni Tbilisi.
Yaliyomo |
Jiografia [hariri]
Georgia ni hasa nchi ya milima ya Kaukazi inayofikia kimo cha 5,068 m. Kati ya safu mbili za milima kuna tambarare ya Kolkhis. Upande wa magharibi unaathiriwa na Bahari Nyeusi una hali ya hewa poa na mvua nyingi inayofaa kwa kilimo na hasa mizabibu.
Maeneo ya Abkhazia na Ossetia ya Kusini yamedai uhuru na kwa sasa hayapo chini ya serikali kuu.
Utamaduni [hariri]
Georgia ina wakazi milioni 4.5. Zaidi ya milioni 1 hukaa Tbilisi. Wakazi walio wengi husema Kigeorgia lakini kuna vikundi vya wasemaji wa Kirusi, Kiarmenia, Kiazeri na wengine.
Wageorgia wengi ni Wakristo wanaofuata Kanisa la Orthodoksi la Georgia. Kuna pia Waislamu (9%) na Wayahudi.
Mgeorgia anayejulikana zaidi duniani alikuwa Josef Stalin.
Marejeo chini ya ukurasa [hariri]
Viungo vya Nje [hariri]
|
||||||||||||||
| Nchi na maeneo ya Asia |
|
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Kirgizstan | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Urusi1 | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Ufilipino | Uthai | Uturuki1 | Turkmenistan | Uhindi | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
| 1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi hii iko Asia lakini kwa sababu za kihistoria au kiutamaduni inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya. 3. Eneo la pekee la China. |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Georgia (nchi) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Georgia (nchi) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
