Romania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
România
Romania
Bendera ya Romania Nembo ya Romania
Bendera Nembo
Wito la taifa: --
Wimbo wa taifa: Deşteaptă-te, române!
Lokeshen ya Romania
Mji mkuu Bukarest (Bucureşti)
44°25′ N 26°06′ E
Mji mkubwa nchini Bukarest
Lugha rasmi Kiromania
Serikali Jamhuri
Traian Băsescu
Emil Boc
Uhuru
Ilitangazwa
ilitambiluwa
9 Mei 1877 (Kalenda ya Juliasi)2
13 Julai 18783
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
238,391 km² (ya 82)
3
Idadi ya watu
 - Julai 2006 kadirio
 - 2002 sensa
 - Msongamano wa watu
 
22,303,552 (ya 50)
21,680,974
91/km² (ya 104)
Fedha Leu (RON)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)
Intaneti TLD .ro
Kodi ya simu +40

-

1Lugha kama Kihungaria, Kijerumani, Kiromani, Kiukraine na Kiserbia hutumiwa kieneo kwenye ngazi kadhaa

2 Vita ya uhuru wa Romania.

3 Mkataba wa Berlin wa 1878.


Romania (Kiromania: Româna) ni nchi ya Ulaya ya kusini-mashariki. Imepakana na Hungaria, Serbia, Ukraine, Moldova na Bulgaria. Kuna pwani kwenye Bahari Nyeusi. Romania ina wakazi milioni 23 katika eneo la 238.391 km², mji mkuu ni Bukarest.

Lugha ya nchi ni Kiromania ambayo ni lugha ya Kirumi kama Kifaransa, Kiitalia na Kihispania.

Jiografia [hariri]

Ramani ya Romania
Europa Mapa.png Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Romania kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.