Slovenia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Slovenia
Bendera
Nembo
Mji mkuu (na mkubwa zaidi){{{mji_mkuu}}}
46°03′ N 14°30′ E
Lugha rasmi{{{lugha_rasmi}}}
Serikali{{{serikali}}}
{{{vyeo_viongozi}}}{{{majina_viongozi}}}
{{{muundo_uhuru}}}{{{tarehe_uhuru}}}
Eneo
 • Eneo la jumla{{{eneo_jumla}}}
 • Maji (%){{{maji}}}
Idadi ya watu
 • Kadirio la 2023{{{watu_kadirio}}}
Pato la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_kwa_mtu}}}
Pato Halisi la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato_halisi}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_halisi_kwa_mtu}}}
Maendeleo ({{{mwaka_maendeleo}}}){{{maendeleo}}}
Fedha{{{fedha}}}
Majira ya saa{{{majira_saa}}}
Muundo wa tareheDD/MM/YYYY

Slovenia ni nchi ya Ulaya ya Kati, mashariki kwa milima ya Alpi.

Imepakana na Italia, ghuba ya Adria ya bahari ya Mediteranea, Kroatia, Hungaria na Austria.

Mji mkuu pia mji mkubwa ni Lyublyana (kwa Kislovenia: Ljubljana).

Ni mwanachama wa Umoja wa Mataifa na wa Umoja wa Ulaya.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Watu wengi (83%) ni wa kabila la Waslovenia, wenye lugha ya Kislovenia ambayo ni kati ya lugha za Kislavoni.

Waslavi walihamia Slovenia ya leo katika karne ya 6 BK.

Tangu zamani waliishi chini ya utawala wa madola mbalimbali kama vile Dola la Roma, Austria na Yugoslavia hadi kupata uhuru wa kisiasa mara ya kwanza kabisa mwaka 1991 baada ya mwisho wa Shirikisho la Yugoslavia.

Kati ya nchi zote zilizotokana na Yugoslavia ya zamani Slovenia ni nchi yenye uchumi imara zaidi.

Upande wa dini, 57.8% ni Wakatoliki. 10% wanajitambulisha kama Wakanamungu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Nchi za Umoja wa Ulaya Bendera ya Umoja wa Ulaya
Austria | Bulgaria | Eire | Estonia | Hispania | Hungaria | Italia | Kroatia | Kupro | Latvia | Lituanya | Luxemburg | Malta | Polandi | Slovakia | Slovenia | Romania | Ubelgiji | Ucheki | Udeni | Ufaransa | Ufini | Ugiriki | Uholanzi | Ujerumani | Ureno | Uswidi
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Slovenia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.