1944
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | ►
◄◄ | ◄ | 1940 | 1941 | 1942 | 1943 | 1944 | 1945 | 1946 | 1947 | 1948 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1944 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1944 MCMXLIV |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5704 – 5705 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1936 – 1937 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1393 ԹՎ ՌՅՂԳ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1363 – 1364 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1322 – 1323 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1999 – 2000 |
| - Shaka Samvat | 1866 – 1867 |
| - Kali Yuga | 5045 – 5046 |
| Kalenda ya Kichina | 4640 – 4641 癸未 – 甲申 |
- 9 Februari - Alice Walker (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1983)
- 7 Aprili - Gerhard Schröder, Chansela wa Ujerumani (1998-2005)
- 13 Aprili - Euphrase Kezilahabi, mwandishi Mtanzania
- 14 Mei - George Lucas, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 25 Septemba - Michael Douglas, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 19 Oktoba - Peter Tosh (mwanamuziki wa rege)
- 28 Desemba - Kary Mullis (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1993)
bila tarehe
Waliofariki [hariri]
- 23 Oktoba - Charles Glover Barkla (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1917)
- 5 Novemba - Alexis Carrel (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1912)
- 30 Desemba - Romain Rolland (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1915)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: