Urusi
Kutoka Wikipedia
|
|||||
| Wito la taifa: none | |||||
| Wimbo wa taifa: Hymn of the Russian Federation | |||||
| Mji mkuu | Moscow |
||||
| Mji mkubwa nchini | Moscow | ||||
| Lugha rasmi | Kirusi | ||||
| Serikali | Jamhuri, Shirikisho serikali ya kiraisi Vladimir Putin Mikhail Fradkov |
||||
| Uhuru {{{established_events}}} |
{{{established_dates}}} | ||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
17,075,400 km² (ya 1) 13 |
||||
| Idadi ya watu - 2006 kadirio - 2002 sensa - Msongamano wa watu |
142,400,000 (ya 7) 145,164,000 8.3/km² (ya 209) |
||||
| Ethnic groups ({{{Ethnic_groups_year}}}) | {{{Ethnic_groups}}} | ||||
| Fedha | Rubl (RUB) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+2 to +12) (UTC+3 to +13) |
||||
| Intaneti TLD | .ru, (.su reserved) | ||||
| Kodi ya simu | +7 |
||||
| 1 Rank based on April 2006 IMF data | |||||
Urusi (Россия Rossiya) ni nchi ya Ulaya ya Mashariki na Asia. Mji mkuu ni Moscow. Ni nchi kubwa duniani kieneo. Kuna wakazi 144,000,000. Eneo lake ni 17,075,400 km².
Urusi imepakana na Norway, Ufini, Estonia, Latvia, Lithuania, Poland, Belarus, Ukraine, Georgia, Azerbaijan, Kazakhstan, China, Mongolia na Korea ya Kaskazini. Iko karibu vilevile na maeneo ya Marekani (jimbo la Alaska iko ngambo ya mlango wa Bering na Japani (kisiwa cha Hokkaido kiko ng'ambo ya mlango wa La Pérouse.
Hadi 1991 Urusi ilikuwa sehemu ya Umoja wa Kisovyeti na kiini chake. Wakati ule iliitwa Shirikisho la Jamhuri ya Kisovyiet ya Kijamii ya Kirusi.
Urusi ilikuwa udikteta chini ya chama cha kikomunisti. Tangu 1990 imekuwa demokrasia. Muundo wa serikali ni shirikisho la jamhuri chini ya rais mtendaji.
[hariri] Miji mikubwa ya Urusi
[hariri] Tovuti
| Makala hiyo kuhusu "Urusi" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri". Ikiwepo makala kuhusu Urusi kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili. |

