Ufalme wa Muungano
|
|||||
| Wito la taifa: "Dieu et mon droit" (Kifaransa) "Mungu na haki yangu" |
|||||
| Wimbo wa taifa:
"God Save the Queen" |
|||||
| Mji mkuu | London |
||||
| Mji mkubwa kushinda miji mingine yote |
London | ||||
| Lugha rasmi | Kiingereza | ||||
| Serikali
• Waziri Mkuu wa Ufalme wa Muungano
|
Unitary, Katiba kifalme David Cameron MP |
||||
| ' |
|||||
| Eneo - Jumla - Maji (%) |
243,610 km² (80th) 1.34% |
||||
| Idadi ya watu - 2011 kadiriwa - Msongamano wa watu |
63,162,000 (22nd) 255.6/km² (51st) |
||||
| Fedha | Pund Sterling (£) (GDP) |
||||
| Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
Greenwich Mean Time (GMT) (UTC+0) British Summer Time (BST) (UTC+1) |
||||
| Intaneti TLD | .uk | ||||
| Kodi ya simu | +44 |
||||
Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire ya Kaskazini (Kiing.: United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland); kifupi "Ufalme wa Muungano" Kiing.: United Kingdom) ni nchi ya Ulaya ya kaskazini-magharibi. Mara nyingi huitwa kwa Kiswahili "Uingereza" tu ingawa nchi ya Uingereza ni moja pekee kati ya sehemu za ufalme huu pamoja na Uskoti, Welisi na Eire ya Kaskazini.
Muungano na utawala [hariri]
| Bendera | Nchi | Hali | Wakazi | Vitengo | Mji mkuu |
|---|---|---|---|---|---|
| Uingereza | Ufalme | 50,431,700 | London | ||
| Uskoti | Ufalme | 5,094,800 | Edinburgh | ||
| Welisi | Utemi | 2,958,600 | Cardiff | ||
| Hapana | Eire ya Kaskazini | Jimbo | 1,724,400 | Belfast |
Tazama pia [hariri]
Marejeo [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ufalme wa Muungano kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
|
||||||||||||||