1920
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1917 1918 1919 - 1920 - 1921 1922 1923 |
[hariri] Matukio
- 10 Januari - Shirikisho la Mataifa linaanza kazi yake.
[hariri] Waliozaliwa
- 11 Machi - Nicolaas Bloembergen (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1981)
- 17 Juni - Francois Jacob, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1965
- 20 Juni - Amos Tutuola, mwandishi kutoka Nigeria
- 10 Julai - Owen Chamberlain (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1959)
- 11 Julai - Yul Brynner, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 29 Septemba - Peter Mitchell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1978
- 31 Oktoba - Dedan Kimathi (kiongozi Mkenya wa Mau Mau)
- 13 Novemba - Jack Elam, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 6 Desemba - George Porter, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1967
[hariri] Waliofariki
- 16 Mei - Levi Parsons Morton, Kaimu Rais wa Marekani (1889-1893)

