17 Juni
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mei - Juni - Jul | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | 30 | |||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
Matukio [hariri]
Waliozaliwa [hariri]
- 1882 - Igor Stravinsky, mtunzi wa muziki kutoka Urusi
- 1914 – John Hersey, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1945
- 1920 - Francois Jacob, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1965
- 1958 - Mohamed A. Abdulaziz, mwanasiasa wa Tanzania
Waliofariki [hariri]
- 676 - Papa Adeodato II
- 1887 - Hugo Birger, mchoraji wa Uswidi
- 1940 - Arthur Harden (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1929)
- 2001 - Donald Cram, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1987