Owen Chamberlain

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Owen Chamberlain (10 Julai, 192028 Februari, 2006) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alifanya utafiti wa fizikia ya kiini na kugundua vipande vingi vya atomu. Mwaka wa 1959, pamoja na Emilio Segre alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Owen Chamberlain" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Owen Chamberlain kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi