28 Februari
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Jan - Februari - Mac | ||||||
| 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
| 8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
| 15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
| 22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
| 29 | ||||||
| Kalenda ya Gregori | ||||||
[hariri] Matukio
- 1525 - Cuauhtemoc aliyekuwa mfalme wa mwisho wa Dola la Azteki (Mexiko) anauawa kwa amri ya Hernan Cortes.
[hariri] Waliozaliwa
- 1896 - Philip Hench (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950)
- 1901 - Linus Pauling (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1954, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1962)
- 1915 - Peter Medawar, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1960
- 1930 - Aage Bohr (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1975)
- 1930 - Leon Cooper (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1972)
- 1939 - Daniel Tsui, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1998
- 1948 - Steven Chu, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1997 na Waziri wa Nishati wa Marekani (tangu 2009)
[hariri] Waliofariki
- 468 - Papa Hilarius
- 1936 - Charles Nicolle (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1928)
- 1985 - Ferdinand Alquié, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 2006 - Owen Chamberlain (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1959)