1924
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | Miaka ya 1930 | Miaka ya 1940 | Miaka ya 1950 | ►
◄◄ | ◄ | 1920 | 1921 | 1922 | 1923 | 1924 | 1925 | 1926 | 1927 | 1928 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1924 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 3 Machi - Uongonzi wa Khalifa umepinduliwa na Kemal Atatürk.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1924 MCMXXIV |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5684 – 5685 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1916 – 1917 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1373 ԹՎ ՌՅՀԳ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1343 – 1344 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1302 – 1303 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1979 – 1980 |
| - Shaka Samvat | 1846 – 1847 |
| - Kali Yuga | 5025 – 5026 |
| Kalenda ya Kichina | 4620 – 4621 癸亥 – 甲子 |
- 11 Januari - Roger Guillemin (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1977)
- 23 Februari - Allan Cormack, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1979
- 3 Aprili - Marlon Brando, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 11 Mei - Antony Hewish (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1974)
- 16 Mei - Dawda Jawara, Rais wa Gambia (1970-1994)
- 3 Juni - Torsten Wiesel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1981
- 12 Juni - George H. Bush, Rais wa Marekani (1989-93)
- 14 Juni - James Black (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1988)
- 1 Agosti - Georges Charpak (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1992)
- 22 Agosti - James Kirkwood (mwandishi Mmarekani, na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1976)
- 2 Septemba - Daniel arap Moi, Rais wa pili wa Kenya
- 1 Oktoba - Jimmy Carter, Rais wa Marekani (1977-81)
- Desemba - Girma Wolde-Giorgis, Rais wa Ethiopia
Waliofariki [hariri]
- 21 Januari - Vladimir Lenin, kiongozi wa Umoja wa Kisovyeti
- 3 Februari - Woodrow Wilson (Rais wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1919)
- 3 Juni - Franz Kafka, mwandishi wa Kijerumani kutoka milki ya Austria-Hungaria
- 12 Oktoba - Anatole France (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1921)
- 29 Novemba - Giacomo Puccini, mtunzi wa opera kutoka Italia
- 29 Desemba - Carl Spitteler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1919)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: