Woodrow Wilson
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Thomas Woodrow Wilson (28 Desemba 1856 – 3 Februari 1924) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Marekani. Miaka ya 1913 hadi 1921 alikuwa Rais wa Marekani. Mwaka wa 1919 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani.
| Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Woodrow Wilson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |