Millard Fillmore
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Millard Fillmore (7 Januari, 1800 – 8 Machi, 1874) alikuwa Rais wa 13 wa Marekani kuanzia mwaka wa 1850 hadi 1853. Alianza kama Kaimu Rais wa Rais Zachary Taylor mwaka wa 1849 na kumfuata wakati wa kifo chake.

