1890
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | Miaka ya 1920 | ►
◄◄ | ◄ | 1886 | 1887 | 1888 | 1889 | 1890 | 1891 | 1892 | 1893 | 1894 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1890 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 1 Julai - Mkataba wa Helgoland-Zanzibar kati ya Ujerumani na Uingereza
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1890 MDCCCXC |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5650 – 5651 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1882 – 1883 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1339 ԹՎ ՌՅԼԹ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1308 – 1309 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1268 – 1269 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1945 – 1946 |
| - Shaka Samvat | 1812 – 1813 |
| - Kali Yuga | 4991 – 4992 |
| Kalenda ya Kichina | 4586 – 4587 己丑 – 庚寅 |
- 10 Februari - Boris Pasternak (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1958)
- 12 Machi - Mfalme Idris I wa Libya
- 31 Machi - Lawrence Bragg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1915)
- 20 Mei – Allan Nevins (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1933)
- 13 Oktoba – Conrad Michael Richter, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer mwaka wa 1951
- 14 Oktoba - Dwight D. Eisenhower, Rais wa Marekani (1953-1961)
- 20 Desemba - Jaroslav Heyrovsky (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1959)
- 21 Desemba - Hermann Muller (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1946)
Waliofariki [hariri]
- 29 Julai - Vincent van Gogh, mchoraji kutoka Uholanzi
Wikimedia Commons ina media kuhusu: