1885
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1850 | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | ►
◄◄ | ◄ | 1881 | 1882 | 1883 | 1884 | 1885 | 1886 | 1887 | 1888 | 1889 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1885 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- Uhindi: Kuundwa kwa INC (Indian National Congress) kama chama cha kwanza cha kisasa cha kupigania uhuru wa Uhindi.
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1885 MDCCCLXXXV |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5645 – 5646 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1877 – 1878 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1334 ԹՎ ՌՅԼԴ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1302 – 1304 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1263 – 1264 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1940 – 1941 |
| - Shaka Samvat | 1807 – 1808 |
| - Kali Yuga | 4986 – 4987 |
| Kalenda ya Kichina | 4581 – 4582 甲申 – 乙酉 |
- 7 Februari - Sinclair Lewis (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1930)
- 1 Agosti - Georg von Hevesy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1943)
- 10 Septemba – Carl Van Doren (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1939)
- 7 Oktoba - Niels Bohr (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1922)
- 11 Oktoba - Francois Mauriac (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1952)
- 2 Desemba - George Minot (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1934)
Waliofariki [hariri]
- 13 Januari - Schuyler Colfax, Kaimu Rais wa Marekani (1869-1873)
- 22 Mei - Victor Hugo, mwandishi maarufu kutoka Ufaransa
- 22 Juni - Muhammad Ahmad ibn Abd Allah aliyeanzisha Dola la Mahdi katika mji wa Omdurman
- 23 Julai - Ulysses S. Grant, Rais wa Marekani (1869-1877)
- 25 Novemba - Thomas Hendricks, Kaimu Rais wa Marekani (1885)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: