1886
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 18 | Karne ya 19 | Karne ya 20 | ►
◄ | Miaka ya 1850 | Miaka ya 1860 | Miaka ya 1870 | Miaka ya 1880 | Miaka ya 1890 | Miaka ya 1900 | Miaka ya 1910 | ►
◄◄ | ◄ | 1882 | 1883 | 1884 | 1885 | 1886 | 1887 | 1888 | 1889 | 1890 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1886 BK (Baada ya Kristo).
Matukio [hariri]
- 4 Oktoba - Kuundwa kwa mji wa Johannesburg
Waliozaliwa [hariri]
| Kalenda ya Gregori | 1886 MDCCCLXXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5646 – 5647 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1878 – 1879 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1335 ԹՎ ՌՅԼԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1304 – 1305 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1264 – 1265 |
| Kalenda ya Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 1941 – 1942 |
| - Shaka Samvat | 1808 – 1809 |
| - Kali Yuga | 4987 – 4988 |
| Kalenda ya Kichina | 4582 – 4583 乙酉 – 丙戌 |
- 8 Machi - Edward Kendall (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1950)
- 16 Mei – Douglas Southall Freeman (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1935)
- 13 Septemba - Robert Robinson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1947
- 26 Septemba - Archibald Vivian Hill (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1922)
- 20 Novemba - Karl von Frisch (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1973)
- 3 Desemba - Karl Manne Siegbahn (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1924)
Waliofariki [hariri]
- 16 Februari - Albert Küchler, mchoraji kutoka Denmark
- 18 Novemba - Chester Arthur, Rais wa Marekani (1881-1885)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: