1935
Kutoka Wikipedia
| Miaka: | 1932 1933 1934 - 1935 - 1936 1937 1938 |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
- 31 Januari - Kenzaburo Oe (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1994)
- 30 Desemba - Omar Bongo, Rais wa Gabon
bila tarehe
- Gianni Garko, mwigizaji filamu kutoka Yugoslavia
[hariri] Waliofariki
- 12 Machi – Michael Pupin (mwanahistoria wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1924)
- 16 Machi - John Macleod (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1923)
- 13 Juni – Douglas Southall Freeman (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1935)
- 13 Septemba - Arthur Henderson (mwanasiasa Mwingereza na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1934)
- 4 Novemba - Charles Richet (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1913)
- 25 Novemba - Iyasu V, Mfalme Mkuu wa Ethiopia
- 13 Desemba - Victor Grignard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1912)

