Douglas Southall Freeman
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Douglas Southall Freeman (16 Mei, 1886 – 13 Juni, 1935) alikuwa mwandishi wa habari kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1935, alipokea Tuzo ya Pulitzer kwa wasifu yake ya Robert Edward Lee.
Douglas Southall Freeman (16 Mei, 1886 – 13 Juni, 1935) alikuwa mwandishi wa habari kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1935, alipokea Tuzo ya Pulitzer kwa wasifu yake ya Robert Edward Lee.