1887
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1884 1885 1886 - 1887 - 1888 1889 1890 |
[hariri] Matukio
- 24 Januari - Waethiopia wanawashinda Waitalia katika mapigano ya Dogali.
[hariri] Waliozaliwa
- 4 Februari - Iyasu V wa Uhabeshi
- 10 Aprili - Bernardo Houssay (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1947)
- 31 Mei - Saint-John Perse (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1960)
- 22 Juni - Julian Huxley (mwanabiolojia, na mkurugenzi wa kwanza wa UNESCO)
- 9 Julai – Samuel Eliot Morison (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1943)
- 22 Julai - Gustav Hertz (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1925)
- 12 Agosti - Erwin Schrodinger, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1933
- 13 Septemba - Leopold Ruzicka, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1939
- 6 Oktoba - Le Corbusier, msanifu majengo kutoka Ufaransa
- 19 Novemba - James Sumner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1946)
[hariri] Waliofariki
- 27 Februari - Alexander Borodin (mtungaji wa muziki Mrusi)
- 4 Juni - William Wheeler, Kaimu Rais wa Marekani (1877-1881)

