1892
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Miaka: | 1889 1890 1891 - 1892 - 1893 1894 1895 |
[hariri] Matukio
[hariri] Waliozaliwa
- 3 Januari - J.R.R. Tolkien, mtaalamu wa Kiingereza na mwandishi wa Bwana wa Mapete
- 6 Februari - William Murphy (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1934)
- 28 Machi - Corneille Heymans (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1938)
- 3 Mei - George Thomson (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1937)
- 26 Juni - Pearl S. Buck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1938)
- 23 Julai - Haile Selassie, Mafalme Mkuu wa Ethiopia
- 6 Septemba - Edward Appleton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1947
- 10 Septemba - Arthur Holly Compton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1927
- 10 Oktoba - Ivo Andric (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1961)

