4 Februari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jan - Februari - Mac
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29
Kalenda ya Gregori

Tarehe 4 Februari ni siku ya thelathini na tano ya mwaka. Ni katikati ya majirabaridi kaskazini kwa ikweta na ya majirajoto kusini kwake. Mpaka mwaka uishe zinabaki siku 330 (331 katika miaka mirefu).

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Sikukuu[hariri | hariri chanzo]

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Eutiki wa Roma, Papia, Theodori na Klaudiani, Fileas na Filoromus, Isidori wa Pelusio, Aventino wa Chartres, Aventino wa Troyes, Rabanus Maurus, Nikola wa Studion, Gilberti wa Sempringham, Yoana wa Valois, Yosefu wa Leonesa, Yohane wa Brito n.k.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 4 Februari kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.